Wednesday, 11 March 2015

Herieth Paul (Tanzania) Mwnamitindo anaefanya vizuri zaidi kimataifa


herieth-Paul-gap-spring-2014-campaign-FAB-Magazine
 Mrembo wa Tanzania mwenye makazi yake jijini New York, Marekani, Herieth Paul ameongoza orodha ya models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi kimataifa.
Orodha hiyo imetolewa na mtandao wa Africa News. Mfahamu zaidi Herieth kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye mwishoni mwa mwaka jana.
Warembo wengine waliopo kwenye orodha hiyo kuanzia namba mbili ni:
2.Maria Borges – Angola
20130708122359_00013
3. Betty Adewole (Nigeria, Uingereza)
Harieth-Paul-Betty-Adewole-Sebastian-Kim-Teen-Vogue-06
4. Ajak Deng (Sudan Kusini)

24664-500w
5. Roberta Narciso (Angola)
TO2WAugust13-Legion-ValerioUmaliDuardo24-700x912
6. Malaika Firth (Kenya)
Malaika-Firth-1
7. Liya Kebede (Ethiopia)
IMAN-Editor-Liya-Feature-600x400
8. Candice Swanepoel (Afrika Kusini)
candice-swanepoel-hot-vs-sport-pics-part2-5
9. Fatima Siad (Somalia)
Fatima-Siad_001
10. Anais Mali (Chad)
3105
Pin It

No comments:

Post a Comment