Wednesday, 6 January 2016

SIMONE POWDERLY WAS TOLD TO LOSE THE BRAIDS OR LOSE THE JOB


BLOGGER2
Hizi ndo braids zilomletea kasheshe
SONY DSC
Hizi ndo Natural Hair zake.
Unapokuwa unatafuta kazi unajua vikwazo utavyokutana navyo ni may be kushindwa kujibu mwaswali au wegine uvaaji flani ila wengi huwa wanajitahidi kuvaa inavyotakiwa siku ya interviews wengi swala la nywele sio issue ila huyu bibie  Simone yeye kilimkumba kigugumizi baada ya kuambiwa kuwa Braids/Rasta za mabutu alosuka sio natural hair kwa hiyo achague moja kuzitoa au kukosa kazi .Unaweza kirahisi tu kuona si angezitoa tu ???khalafu kama kazi unayotaka inakubagua kwa nywele tu na ukakubali kubadilibasi kesho yake watakuja na jingine.
Anaitwa Simone Powderly ni blogger maarufu sana yeye ni chotara wa Mama wa Ki Irish na baba wa Kijamaica.ali apply kazi kama kawa akaitwa na job recruiter ila alipofika hakupendezwa na braids zake akaambiwa atoe rasta muda wa interview ukifika ,akaona akikubali atakuwa hajasimamia kwenye equal rights na ni kama kukubali kuwa discriminated wakati  kila mtu ana uhuru wa kuwa na style ya nywele anazotaka yeye.Kama Braids zake zilikuwa hazimzuii yeye kufanya kazi basi kwanini azitoe??
SOMA STORY ZAIDI HAPA CHINI
A POPULAR blogger and model says she has been the victim of discrimination after a luxury recruitment agency asked her to remove her braids or risk missing out on a job opportunity.
The exchange is said to have taken place in November 2014 when Simone Powderly applied to get on the books of Elite Associates, which describes itself as ‘a respected leader in the luxury recruitment industry, providing the highest calibre of candidates to the most selective and prestigious retailers and brands in the world’.
The 25-year-old from south London, who wears her naturally curly hair in different styles including straightened or braided, said she received a worrying phone call despite soaring through the first round of group assessments.
She told The Voice: “I was told I was successful in my group assessment but what was said next I didn’t expect. I was asked: ‘Can we ask you to take your hair out in time for the interview…high-end brands like a more natural look?’”
ZAIDI INGIA HUMU NA HUMU
Story ya huyu dada imenikumbusha story ya ZENDAYA COLEMAN ambae kwenye kipindi cha Fashion Police mtangazaji  GULIANA RANCIC  alimtolea comments mbaya sana huyu Zendaya na nywele zake za DREADLOCKS kwenye Oscars ya mwaka huu ENDAYA
Guliana said her dread locks made it look like she smelled ‘of weed and patchouli oil 
haya ndo majibu ya Zendaya over the comments aliyopewa na Guliana ZEC ZENCOM
Guliana Rancic pichani chini alishambuliwa sana kila mahali aka apologize baadae na ndo kilomfanya hata Kelly Osbourne kuacha kazi pale E channel.G
NEW YORK, NY - JULY 01: TV personality Kelly Osbourne visits the SiriusXM Studios on July 1, 2014 in New York City. (Photo by Taylor Hill/Getty Images)
Huyu ndo Kelly kwa ambao hamumjui na aliacha kazi over hii issue ya Zendaya coz hakuridhika na maneno aloambiwa Zendaya na wote walikuwa involved na issue hiyo.
Na Zendaya ni rafiki yake sana na wale walokuwa involved hawakulifanyia hili swala kazi kama ilivyotakiwa akaona asepe howa ndo loyal friends sasa na pia unasimamia swala na Equal Rights

NATURAL HAIR

JINSI YA KUBANA NATURAL HAIR


HII NI NJIA RAHISI WENYE NATURAL HAIR WAWEZA BANA  MWENYEWE HOME
MAHITAJI
CHANUO
MAFUTA
UZI.
CHUPIO
HATUA YA MWANZO CHANA NYWELE KWENDA JUU HALAF FUNGA UZI KATIKATI YA NYWELE AU AMBAPO UNAPENDELEA WEWE
Bun2-1024x706
NYWELE UKIFUNGA UZI ILI KUPATA MUONEKANO MZURI CHUKUA ZILE ZA JUU ZINAZO HANG THEN ZIFUNGE KIJIBUTU HIVI AU OKOTA
Bun3-1024x993

CHUKUA CHUPIO BANA HAPO PENYE KIBUTU WAWEZA TUMIA HIZI CHUPIO KUBANA NYUMA KAMA NYWELE ZINAPEPEA HAZIKUBANIKA VIZURI.
BASI UR GOOOD TOGO RAHIS EEHHH .
Bun4-1024x808
KAMA NI MTOKO UPO FRESH TAYARI
Bun1-1024x706
CREDIT :8020Fashions Blog

Thursday, 25 June 2015

FASHION JEWELLERY TO DIE FOR YANIIIIII



LEFASHIONBLOGJEWELRYPOSTBAUBLEBARHONESTLYWTFERICALAURENVINTAGELOOKINGGEMNECKLACESANDEARRINGSGOLDSILVERBRIGHTTRIANGLEBIBNECKLACEDROPEARRI
 INAPOKUJA KUHUSIANA NA FASHION looh jewellery ni muhimu huwezi kukamilika bila mikufu, bangili na vitu vingine kama hivyo apo yani , kwa nini usiwe navyo saa?

NECKLACES:
 fashion jewellery art-of-glitz-1072-396741-1-zoom art-of-glitz-3720-666741-1-zoom art-of-glitz-3901-727741-1-zoom
daa necklaces ni muhimu sana inakamilisha mwonekano wakoo

EARRINGS:
art-of-glitz-3611-346741-1-zoom  fashion jewellery art-of-glitz-6990-907741-1-zoom decollete-7896-281971-1-zoom  fashion jewellery fabulous-8498-666991-1-zoom


BRACELETS:
 fashion jewellery art-of-glitz-0851-786741-1-zoom decollete-1226-781971-1-zoom decollete-1237-881971-1-zoom haute-7020-462681-1-zoom


RINGS:
decollete-1271-102971-1-zoom decollete-3241-170491-1-zoom j-town-4187-338081-1-zoom oaks-accessories-5963-453891-1-zoom (1)

apa sasa lazima uangalie na ni aina gani ya rings utakazo vaa usije kuharibu mambo 

ONEKANA STYLISH NA STARA MWEZI HUU BILA KUMKWANZA MTU

muda huu syo muda wa kuwa mzeee bwana ebu jaribu kuonekana mrembo kipindi hichi bila kumkwaza mtu yoyote unaonekana classic na stara upoooo


hijab fashion_feature_image-we-love-style-jumia
Unaweza kuvaa stara na bado ukaonekana mrembo but inategemea na ww mwenyewe unevaa nini mwezi huu ni mwezi wa kupunguza au kuacha kabisa kuvaa vile vivazi vya ajabuu bwanaa ebu jaribu kati ya hizi  apa alafu uone mambo yatakavyo kuwa bombaa


Mozah-bint-Nasser-20
2010-03-31-MOZAH  hijab_fashion_4

LAYERS
.oky kuna hiii apa sasa ebu ijaribu it just a dress au skert yako ndefu na  koti yako ya jinsi ee unaona apo unakua very fashionable na comfortable ee
11202446_691269270994864_2000179277_nhijab_fashion_510995091_1624087537821206_543618051_n

DAYTIME CASUAL
Get comfy and casual with a cool pair of trendy casual sneakers or brogues. You can never go wrong with a bright coloured print dress and nude-toned hijab…go for it!

11358152_123290264668822_312746954_n11376244_798082253622065_1934395405_n
hijab fashion - 1-hijab_fashion_we_love_style_jumia

LACE LOVER
aya sasan jaribu lace
11055688_1613245065585419_462205652_n11334417_1592726280975858_1663375757_n

TOUCH OF BLACK
 apa sasa always rangi nyeusi haikosei ebu jaribu hii ebu put som black attachment 
10914105_862540740475834_1874757845_n    11184686_1449377148688837_650404501_n11327004_1407529496241529_652714998_n     hijab fashion 3
10848274_313978872127220_1854293976_n

Sunday, 14 June 2015

NAMNA YA KUONDOA VIPELE NA MAFUTA USONI

Ukiwa mwanaume au mwanamke upigaji sopusopu ni jambo la busara sana ili kukuweka mtanashati na mwenyekuvutia muda wote kwa kuondoa uchafu na pia kuondoa mafuta ambayo yana kawaida ya kutanda katika sura.
Kitendo hicho huitwa scrub.Husaidia kuondoa chunusi,vipele na makovu na pia inapunguza mafuta usoni.
Uso unapokuwa na mafuta sana na kuyaondoa kunasaidia kupunguza vitu vingi pamoja na vipele na hata mabaka yaliyosababishwa na vipele au chunusi.
Unaweza kutumia scrub ya kwa njia ya mikono kwa kila baada ya siku tatu, na scrub ya mashine baada ya mwezi mmoja.
Scrub ya mkono.Tafuta aina ya scrub inayokufaa kulingana na ngozi yako.safisha uso wako mpaka uhakikishe kuwa umetakata kisha chukua scrub na kuanza kusugua usoni taratibu kwa muda wa dakika tano kisha nawa uso na unaweza kupakalosheni au poda baada ya kunawa.
Scrub ya mvuke.Chesha maji Nawa uso kwa kutumia maji safi na uhakikishe kuwaumetakata.
Futa uso kwa kutumia taulo safi.
Paka scrub usoni na pia shingoni kama utapenda. Sugua uso kwa kutoa taka.Chukua taulo jifunike na kisha inamia beseni lenye maji ya moto.Baada ya dakika tano toka na subiri kwa muda wa dakika tano nyingine kisha nawa. Paka poda au losheni.
Pia unaweza kutembelea saluni za kisasa kwa ajili ya kuufanyia facial uso wako Pia unaweza kutafuta sabuni ya ukwaju na ukawa unanawa uso asubuhi na jioni hii huondoa upele, chunusi na mabaka usoni

UREMBO WA MACHO UTAKUFANYA UONEKANE BOMBA ZAIDI



Eyeshadows ni urembo ambao hutumiwa juu na chini ya kope. Njia hii husaidia kuongeza kina na mwelekeo wa macho ya watu.
Watu wanapenda kutumia aina hii ya urembo ili kuweza kuimarisha muonekano wao.
Kama wewe ni mweusi jaribu kutumia rangi angavu ili kuimarisha muonekano wako ukitumia rangi za giza zitakufanya uonekane vibaya.
Ni muhimu kuhakikisha kuwa unakuwa makini ili kuweza kuweka macho yako katika hali bora zaidi ya kupendeza.
Wakati mwingine Eyeshadows hufanya macho kuonekana makubwa au madogo. Lakini cha muhimu kuzingatia je rangi unayopaka inaendana na macho yako au ngozi yako.
Unatakiwa kupaka rangi kwa ustadi mkubwa huku ukiweka mkolozo katika kona za macho yako.
Ni vizuri kama utatumia eyeshadow ya penseli kwani huwa rahisi kuitumia na inapatikana kwa urahisi madukani.Kuna rangi za aina nyingi ambazo hupendeza wapakaji, rangi hizo ni pamoja na pink plum, matumbawe na shaba, bluu na kijani
pamoja na fedha, dhahabu na nyingine nyingi.
Rangi hizi hutofautiana kulingana na mng'ao wake kwani kuwa zenye mng'ao mkubwa na zile zilizofifia.Njia ya kawaida ya kupaka eyeshadow ni kutoka ndani ya kona
ya jicho na nje na zaidi.Rangi kama Gray, violet, zambarau na bluu huwapendeza sana
watu wa rangi ya maji ya kunde na kusaidia kung'arisha macho yao.
 From Sifa yetu uremb blog

Tuesday, 31 March 2015

Jinsi ya kutengeneza uso ukiwa nyumbani

Owky hizo apoo ndo tips muhimu kutengeneza ngozi yako ukiwa nyumbani


1. Chukua maziwa ya mgando na utumie kusafisha uso wako.
2. Scrub kwa kutumia mchanganyiko wa mlozi na karoti au mlozi wa jani la chai.
3. fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa na kipande cha limao na weak kidogo katika taulo la pamba na futa uso wako mahali pote kasoro penye tatizo.
4. Tumia ute mweupe ambao utakuwa umemwagia katika taulo lako na kujisugua taratibu.
5. Jisafishe na maji ya vuguvugu
6. Fanya toning tena kama ilivyokuwa katika hatua ya tatu juu
7. Ili kuondoa ukavu wa ngozi, kata matango na yabandike katika ngozi